Saturday, September 13, 2014

Martín Demichelis ndie aliyewasawazishia bao na kufanya 2-2 katika dakika ya 83 baada ya kazi nzuri ya Aleksandar Kolarov kutoa pande kwa Demichelis.Jack Wilshere akishangilia bao lake. Jack Wilshere dakika ya 63 aliisawazishia Arsenal na dakika ya 74 kipindi hicho cha pili Alexis Sánchez aliwapa bao la pili Arsenal na kufanya 2-1 dhidi ya City baada ya kazi nzuri ya Jack Wilshere.Sergio...
Pichani kati msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT, Rachael akiwa na madansa wake wakilishambulia jukwaa kwa namna ya kipekee usiku huu kwenye tamasha la Fiesta ndani ya uwanja mdogo wa Kambarage mjini Shinyanga. Mmoja wa wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,atambulikae kwa jina la kisanii Ommy Dimpo akiwaimbisha mashabiki huku akisherehekea siku yake ya kuzaliwa na wakazi...
Louis van Gaal anaamini kumaliza kwenye Tatu Bora katika Ligi Kuu England Msimu huu ni lengo ambalo linaweza kufikiwa. Msimu uliopita, chini ya Meneja alietimulia David Moyes, Man United walimaliza Nafasi ya 7 na kukosa kucheza Mashindano ya UEFA Ulaya.Juzi, akiongea na Wawekezaji na pia kutangaza Mapato ya Rekodi, Makamu Mwenyekiti Mtendaji wa Man United, Ed Woodward, alisema Bajeti...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kesho Jumamosi (Septemba 13 mwaka huu) saa 4 asubuhi litaendesha mafunzo ya matumizi ya tiketi za elektroniki kwa wadau wa mpira wa miguu Dar es Salaam.Mafunzo hayo Uwanja wa Taifa, na kushirikisha wasimamizi wa mechi, viongozi wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) na makatibu na maofisa habari wa klabu za Azam na Yanga.Washiriki...
ARSENE Wenger kesho anawakabili mabingwa watetezi wa ligi kuu soka nchini England, Manchester City katika mchezo wa ligi kuu uwanja wa Emirates.Baada ya kumsajili Danny Welbeck, je, kikosi kitakakuwa kama inavyoonekana pichani juu?Kuna majeruhi wachache waliojitokeza kwenye mechi za kimataifa ambao ni Aaron Ramsey, Mikel Arteta na Mesut Ozil.Lakini inaonekana Wenger ana chaguo kubwa la wachezaji...
Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akimkabidhi Ngao ya Jamii nahodha wa timu ya KMKM, Khasim Ali baada ya kuifunga Shaba ya Pemba 2-0 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar juzi. Kulia ni Meneja Mauzo wa kinywaji cha Grandmalt, Kassiro Msangi. (Na Mpiga Picha Wetu) Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi...
Aliyekuwa Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere. Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere ametangaza kujiuzulu cheo hicho kupitia ukurasa wake wa instagram. Amedai kuna mbinu chafu dhidi yake...
MENEJA wa Swansea City Garry Monk ameshinda Tuzo ya Wadhamini Barclays ya Ligi Kuu England na kutajwa ndie Meneja Bora wa Mwezi baada ya kuongoza Timu yake kushinda Mechi zote Tatu za Ligi Kuu England. Swansea wamefungana kileleni na Chelsea ambao wako juu kwa ubora wa Magoli na Meneja wao Jose Mourinho alikuwemo kwenye kugombea Umeneja Bora wa Agosti. Diego Costa akiwa amebeba tuzo yake...
LOUIS van Gaal amesema Danny Welbeck aliuzwa Arsenal kwasababu hakuwa mzuri sana kwa Manchester United, lakini amekataa kuwa klabu imeharibu sera yake ya soka la vijana. Majira ya kiangazi, United walitumia paundi milioni 150 katika usajili wa wachezaji wapya, wakiwemo Angel di Maria na Radamel Falcao. Kitendo hicho kimezua maswali kuwa klabu hiyo imewageuzia mgongo wachezaji vijana waliokulia...
Kesho jumapili, Rio Ferdinand atarudi katika klabu yake ya zamani, Manchester United akiichezea Queens Park Rangers  RIO Ferdinand anarudi Manchester United kwa mara ya kwanza kesho jumapili, lakini amelalamika kuwa klabu hiyo aliyoichezea kwa miaka 12 kamwe haikumpa nafasi ya kuaga kabla ya kujiunga na QPR. Ferdinand aliichezea United mechi 455 na alitoa mchango mkubwa...

waliotembelea blog