
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka
jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mwigumbi-Maswa (Km
50.3) katika Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu. Wengine katika picha ni Mkuu
wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka watatu kutoka kulia Waziri wa Ujenzi
Profesa Makame Mbarawa wakwanza kulia pamoja na viongozi wengine.
Rais
wa Jamhuri ya...