Southampton
wamgeweza kupata Bao nyingi kama si ushujaa wa Kipa wa Liverpool Loris
Karius alieokoa Mipira mingi na hasa mara 2 kufuta kwenye chaki ya Goli
Mipira ya Nathan Redmond.
Nusu
Fainali hizi huchezwa kwa Mikondo Miwili ya Nyumbani na Ugenini na
hivyo Marudiano ya Mechi hizi yatakuwa hapo Januari 25 na 26 huko
Anfield na KCOM Stadium.
EFL CUP Nusu Fainali
MARUDIANO
Jumatano Januari 25
23:00 Liverpool v Southampton [0-1]
22:45 Hull City v Manchester United [0-2]
RSS Feed
Twitter
6:49 AM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment