Kuelekea uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani
lililoachwa wazi baada ya mbunge wake SAID BWANAMDOGO kufariki hivi karibuni
Chama cha Mapinduzi kimefanya kura ya maoni ili kumpata mrithi wa Jimbo hilo
atakayechuana na wagombea kutoka vyama vingine.
Katika kura hiyo ya maoni wagombea watatu wamejitokeza
kuwania nafasi ya ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia chama...
Tuesday, March 4, 2014


Katika maisha yangu sijawahi kuona
watu wenye imani kali kama wahubiri dini. Mapadri, masheikh, wachungaji
hawa watu wana imani kali sana na dini zao. Imani zao zimejengwa kwa
kusikia mafundisho ya vitabu vitakatifu. Hata biblia imenena kuwa "imani
huja kwa kusikia, tena kwa kusikia neno la Mungu."
Ili...
Subscribe to:
Posts (Atom)