Monday, August 4, 2014

Kocha mpya wa Uholanzi Guus Hiddink amemteua Pierre van Hooijdonk kuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya nchi hiyo.  Pia Hiddink amemwambia nahodha wa timu hiyo Robin van Persie kupatana na Pierre van Hooijdonk ambaye waligombana wakati wa fainali za kombe la dunia, wakati Pierre van Hooijdonk aliposema Van Persie hafai kucheza kwenye mchezo wa mshindi wa 3 kutokana na kutokuwa na kiwango...
Mheshimiwa Zitto Kabwe - "#TaifaStars imecheza mechi nyingi ambazo nimehudhuria, ndani na nje ya nchi. Sijaona wachezaji wakitokwa machozi kama Jana. Ndani ya chumba cha kubadilisha nguo niliona uchungu na machozi ya vijana wetu. Kwa pamoja walikuwa wanasema 'nyumbani kama ugenini, ugenini ugenini'. Somo kubwa sana hilo." ...
MABINGWA wa Ulaya, Real Madrid wamemsajili mlinda mlango na shujaa wa Costa Rica katika fainali za kombe la dunia majira ya kiangazi mwaka huu nchini Brazil, Keylor Navas. Navas amekubali kusaini mkataba wa miaka sita na sasa anaingia katika ushindani na kipa Iker Casillas kwasababu kuna dalili kuwa kipa mwingine Diego Lopez anasepa zake. Taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao rasmi...
+7 Tabasamu 'bab kubwa': Ashley Young akiungana na wachezaji wenzake Wayne Rooney na Danny Welbeck kwenye mazoezi ya Manchester United. LOUIS van Gaal atawachana macho kwa macho wachezaji wake ambao wataachwa na Manchester United baada ya kumaliza ziara ya Marekani ambapo amewapa nafasi ya kumuonesha viwango vyao. Anderson, Nani, Javier Hernandez, Shinji Kagawa...

waliotembelea blog