Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania
(TFF) limeteua maofisa wanaoanza leo kukagua viwanja 19 vitakavyotumika
kwa mechi za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) na Ligi Daraja la Kwanza (FDL).
Ukaguzi huo pia unahusisha viwanja ambavyo Bodi ya Ligi Kuu Tanzania
(TPLB) ilizuia mechi za VPL na FDL kuchezwa mpaka hapo vitakapokuwa
vimefanyiwa marekebisho ili kukidhi sifa za kutumiwa kwa mechi...
Tuesday, January 14, 2014



KUNDI C la Orange CHAN 2014,
Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza ndani ya Nchi
zao, zimecheza Mechi zake kwa Ghana kuifunga Congo 1-0 na Libya
kuibamiza Ethiopia Bao 2-0. Shujaa wa Ghana ni Theophilus Anobaah aliefunga Bao katika Dakika ya 35.Katika
Mechi iliyofuata ya Kundi C, Libya iliichapa Ethiopia Bao 2-0 kwa Bao z
a Elmutasem Abushnaf kwenye Dakika ya 4 na...


Cristiano Ronaldo, na mkewe Irina Shayk.
Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya
taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo jana usiku alinyakua tuzo ya mchezajii
bora wa soka wa fifa wa mwaka 2013 na kuwashinda Lionel Messi wa
Barcelona na Frank Ribery wa Bayern Munich. Ronaldo ambaye
alinyakuwa tuzo hiyo ya mchezaji bora wa dunia kwa mara kwanza mwaka
2008 alitangazwa kunyakua tuzo mwaka...


Kiasi ya watu 200 kutoka Sudan Kusini wamefariki leo Jumanne katika
ajali ya feri katika Mto Nile wakati wakikimbia mapigano katika mji wa
Malakal.
Wananchi wa Sudan kusini wakikimbia mapigano
Taarifa zinazopatikana kutoka Sudan Kusini zinasema watu kati ya 200 na
300, ikiwa ni pamoja na wanawake na watoto wamekufa maji katika ajali
hiyo ya feri. Chombo hicho kilikuwa na watu wengi...


Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Frank Walter Steinmeier amesema
ujenzi wa makaazi ya walowezi unaoendelezwa na Israel unahujumu
mazungumzo ya kutafuta amani Mashariki ya kati.
Waziri huyo wa mambo ya nje wa Ujerumani alikuwa Israel jana kwa ziara
ya siku moja ili kuzungumzia mchakato wa kupatikana suluhu ya amani kwa
mzozo wa muda mrefu wa mashariki ya kati siku ambayo ilitawaliwa...


Cristiano Ronaldo ameshinda tuzo ya FIFA ya mchezaji bora wa mwaka
Ballon d'Or. Ujerumani ilinyakua tuzo tatu, wakati Jupp Heynckes na
Silvia Neid wakishinda tuzo ya makocha bora
Nadine Angerer akiibuka mchezaji bora mwanamke. Katika sherehe za kila
mwaka za Ballon d'Or mjini Zurich, Shirikisho la Soka Ulimwenguni - FIFA
lilimtaja Cristiano Ronaldo kama mchezaji bora ulimwenguni katika...


Wamisri wameanza kuteremka vituoni kutoa maoni yao kuhusu katiba mpya,
hatua inayoangaliwa kama kipimo cha umashuhuri wa jeshi lililomng'owa
madarakani Mohammed Mursi, huku tayari kukiwa na taarifa za
mashambulizi.
Wamisri wanapiga foleni wakisubiri kupiga kura
Jenerali Abdel Fatah al-Sisi, makamo waziri mkuu, waziri wa ulinzi na
mtu pekee mwenye usemi katika nchi hiyo yenye...


.Katika
taarifa iliyotumwa katika mtandao wa klabu hiyo ilithibitisha kumtimua
kocha huyo na kushukuru kwa mchango wake pamoja na jopo la wasaidizi
wake kwa kazi walioifanya katika kipindi chote na kuwatakia kila la
heri. Kwasasa timu hiyo itakuwa
chini ya kocha wa muda Mauro Tassotti wakati ukifanyika mchakato wa
kutafuta kocha mpya atakayeziba nafasi ya Allegri. Barbara ambaye...
Subscribe to:
Posts (Atom)