Monday, December 30, 2013

...
Leo Samwel Eto'o ameibuka Shujaa wa Stamford Bridge alipofunga Bao la ushindi wakati Chelsea ilipotoka nyuma kwa Bao 1-0 na kuitwanga Liverpool Bao 2-1 wakati huko White Hart Lane Tottenham waliicharaza Stoke City Bao 3-0. Kipindi cha Pili, Mamadou Sakho alipiga posti kwa kichwa na Liverpool watarudi kwao wakijuta ‘kunyimwa’ Penati mbili kufuatia kuvaana na John Terry na Eto'o.SPetr...
J Olivier Giroud ameifungia bao la kichwa  timu yake Arsenal katika Dakika ya 65 leo limeifanya Arsenal iifunge Newcastle huko St James Park Bao 1-0 na kutwaa tena uongozi wa Ligi Kuu England wakiwa Pointi 1 mbele ya Manchester City. Ingawa Arsenal walifungua nafasi kadhaa za kufunga lakini ni Newcastle waliokosa Bao za wazi wakati Shuti la Moussa Sissoko lilipookolewa na Kichwa cha Mathieu...
Kwaya ya J.B.C Rwamishenye     waimbaji wa kwaya ya EAGT Bukoba Kwaya ya EAGT Bukoba wakiendelea kuimba ambao makao yao makuu ni Nyamukazi EAGT kwaya wakitoa burudani.     Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mh. Massawe akicheza na Mh. Mgeni rasmi Mh January Yusuf Makamba     &nbs...

waliotembelea blog