Mshambuliaji wa kimataifa wa Arsenal, Mezut Ozil,
ameondoka leo kutoka katika kambi aliyokuwa na timu yake ya taifa ya
Ujerumani huko mjini Frankfurt na kuelekea mjini Munich kwa ajili ya
kufanyiwa uchunguzi wa maumivu ya goti yanamsumbua kwa sasa ambayo
ameyapata wakati akifanya mazoezi na timu yake hiyo ya taifa ikiwa ni
maandali ya kuelekea katika mashinda ya kuwania kufuzu kushiriki...
Thursday, October 9, 2014



Mkurugenzi
wa Kampuni ya Rino International Agency ambao ni waratibu wakuu wa
Mashindano ya Miss Tanzania,Hashim Lundenga (kulia) akizungumza na
vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo,juu ya onyesho la Redd's Miss
Tanzania 2014 linalotarajiwa kufanyika Oktoba 11,2014 katika Ukumbi wa
Mlimani City,Jijini Dar.Katikati ni Meneja wa Kinywaji cha Redd's ambao
ni Wadhamini Wakuu wa Mashindano...
Subscribe to:
Posts (Atom)