
Mkazi
wa Wazo Hill, Tegeta Mary Joseph (Katikati) akipokea zawadi ya fulana
toka kwa Msimamizi wa mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya
Ubungo, Mbezi na Tegeta Bw. Victor Mhindi (Kulia) wakati wa promosheni
ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani iliyofanyika katika baa ya Family iliyopo
Tegeta jijini Dar es salaam. (Kushoto) ni mshereheshaji wa promosheni
hiyo na...