Tuzo ya mchezaji bora wa mwezi ni tuzo
ambayo Ligi nyingi duniani huwa wanayo hata katika Ligi Kuu soka
Tanzania bara huwa ipo, December 8 ndio siku ambayo Ligi Kuu Hispania ilitangaza tuzo ya mchezaji bora wa mwezi, Neymar anayekipiga katika klabu ya FC Barcelona ndio mchezaji aliyefanikiwa...
Tuesday, December 8, 2015


Raheem
Sterling alifunga bao mbili na kutengeneza mabao mengine Manchester
City walipoichabanga bao 4 kwa 2 Borussia Monchengladbach_ 4-2 na kukaa
kileleni kwenye Group D.Raheem Sterling akishangilia moja ya bao lakeKolarov kwenye patashika baada ya kutupwa nje ya Uwanja na kuangukia kwa waandishi wa HabariHatari tupu!!!Chupuchupu!! Borussia Monchengladbach nao wakishangilia bao lao...


Manchester
United imefungwa 3-2 na Wolfsburg Bao 3-2 kwenye Mechi ya Kundi B la
UEFA CHAMPIONS LIGI, UCL na kutupwa nje na sasa kucheza Raundi ya Mtoano
ya EUROPA LIGI.3-2Kipigo
hicho, na ushindi wa PSV Eindhoven wa Bao 2-1 dhidi ya CSKA Moscow,
kumezifanya Wolfsburg na PSV kufuzu kwenda Raundi ya Mtoano ya UCL na
Man united kumaliza Nafasi ya 3. Hii ni mara ya kwanza kabisa kwa Wolfsburg...


DROO
ya Raundi ya 3 ya Kombe kongwe Duniani, FA CUP, ambalo sasa linaitwa
Emirates FA Cup kwa sababu za kiudhamini, imefanyika Usiku huu
ikihusisha Timu zote za Ligi Kuu England na Daraja la Championship
ambazo huanzia hapa. Droo hii, ambayo imeibua Mechi 5 za Timu za
Ligi Kuu England kuvaana wenyewe kwa wenyewe, imefanyika huko Sport
Wales National Centre Mjini Cardiff, na kuhusisha Timu...


MENEJA
wa Manchester United Louis van Gaal Leo amesafiri kwenda Germany na
Wachezaji 19 kwa ajili ya Mechi yao ya mwisho ya Kundi B la UEFA
CHAMPIONS LIGI, UCL, ambayo itaamua kama watasonga Raundi ya Mtoano au
watatupwa EUROPA LIGI. Man
United hawawezi kutupwa nje kabisa ya Ulaya kwani matokeo ya aina
yeyote ama yatwabakisha UCL au kupelekwa EUROPA LIGI wakimaliza katika
Nafasi ya...


Mechi
pekee ya Ligi Kuu England huko Goodison Park, Merseyside, Jijini
Liverpool, Wenyeji Everton walijinasua toka kwenye kipigo na kutoka Sare
ya 1-1 na Crystal Palace. Bao za Mechi hii zilifungwa na Scott Dann Dakika ya 76 kwa Palace na Romelu Lukaku kurudisha Dakika ya 81.Kabla
ya Lukaku, mwenye Miaka 22, kusawazisha, Everton walipiga Posti mara 3
na hatimaye Lukaku kufunga likiwa ni...
Subscribe to:
Posts (Atom)