Sunday, December 4, 2016

WENYEJI Everton wamepata Sare ya 1-1 walipocheza na Manchester United huko Goodison Park kwenye Mechi ya EPL, Ligi Kuu England, kwa msaaada wa Penati ya Dakika ya 89 iliyotolewa na Refa Michael Oliver. Man United walitangulia kufunga katika Dakika ya 42 kwa Bao safi la Zlatan Ibrahimovic alipomvisha kanzu Kipa Stekelnburg alietoka...

waliotembelea blog