
Rais
Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakitoa heshima za mwisho
mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, marehemu Dkt.
William Mgimwa,
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal
na mkewe Mama Zakia Bilal, wakitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza
lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, marehemu Dkt. William Mgimwa,...