Friday, July 25, 2014

Tumelianzisha tena! Raheem Sterling anajua wazi kuwa anatakiwa kujithibitsha mwenyewe kuwa ni bora. LICHA ya kuwa miongoni mwa wachezaji wachache wa England waliorudi na heshima kutoka kombe la dunia, Raheem Sterling amesisitiza kuwa anahitaji kuonesha kiwango kikubwa katika klabu yake ya Liverpool msimu ujao. Nyota huyo kinda mwenye miaka 19 alikuwa miongoni mwa...
    Picha zaidi na maelezo zinakujia punde, endelea kuwa nas...
Mabaki ya ndege iliyopotea ikiwa na watu 116 njiani kutoka Burkanafaso kwenda Algers yamepatikana nchini Mali. Maafisa wa Jeshi wa Burkina faso wamesema ndege hiyo iliyokuwa chini ya shirika la ndege la Algeria imeanguka karibia kilomita 50 kutoka mpaka wa Burkanafaso. ...

waliotembelea blog