Wednesday, September 25, 2013

UDAKU WA USAJILI Winga wa nchi ya Wales Gareth Bale, 24,  alipanda ndege kurudi toka Hispania na kuzungumza na   Manchester United kabla ya kukamilisha uhamisho  wake wa kuvunja rekodi wenye thamani ya £86m kwenda Real Madrid.   Manchester United, Chelsea, Arsenal na  Tottenham wanaweza kuhusishwa na wasiwasi wa  hatma ya Andrea Pirlo akiwa Juventus ....
  MCHUNGAJI Ambilikile Mwaisapila wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) amesema Mungu ameendelea kujifunua kwake na kumuonyesha kuwa Tanzania itakuwa kioo cha Afrika na baadaye kioo cha dunia. Ametoa kauli hiyo jana asubuhi (Jumanne, Septemba 24, 2013) mbele ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati akizungumza na wakazi wa kijiji cha Samunge,...

waliotembelea blog