UDAKU WA USAJILI
Winga wa nchi ya Wales Gareth Bale, 24,
alipanda ndege kurudi
toka Hispania na kuzungumza na
Manchester United kabla ya kukamilisha
uhamisho
wake wa kuvunja rekodi wenye thamani ya £86m kwenda Real
Madrid.
Manchester United, Chelsea, Arsenal na
Tottenham wanaweza
kuhusishwa na wasiwasi wa
hatma ya Andrea Pirlo akiwa Juventus
....
Wednesday, September 25, 2013


MCHUNGAJI
Ambilikile Mwaisapila wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania
(KKKT) amesema Mungu ameendelea kujifunua kwake na kumuonyesha kuwa
Tanzania itakuwa kioo cha Afrika na baadaye kioo cha dunia.
Ametoa
kauli hiyo jana asubuhi (Jumanne, Septemba 24, 2013) mbele ya Waziri
Mkuu Mizengo Pinda wakati akizungumza na wakazi wa kijiji cha Samunge,...
Subscribe to:
Posts (Atom)