Saturday, May 9, 2015

Stoke City XI: Butland, Cameron, Shawcross, Muniesa, Pieters, N'Zonzi, Whelan, Walters, Adam, Arnautovic, Diouf. Akiba: Sorensen, Bardsley, Ireland, Odemwingie, Sidwell, Crouch, Wollscheid. Tottenham XI: Lloris; Dier, Chiricheș, Fazio, Vertonghen; Bentaleb, Mason; Lamela, Eriksen, Chadli; Kane. Akiba: Vorm, Rose, Yedlin, Dembele, Stambouli, Townsend, Soldad...
Timu ya Simba Sports Club imeibuka na ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya JKT Ruvu na kushika nafasi ya 3 katika Ligi Kuu ya Vodacom iliyomalizika leo. ‪#‎VPL2015‬ Timu za Polisi Moro na Ruvu Shooting zimeshuka daraj...
Kutoka chini ya kwa chini ni kuhusu Kocha wa Bayern Munich kwenda Ligi Kuu England msimu Ujao wa 2015/2016 kufundisha Timu ya Man City.   ...
Jermain Defoe dakika ya 85 kipindi cha pili aliwafungia bao Sunderland na kufanya 2-0 dhidi ya Everton. Ushindi huu umeipandisha Sunderland nafasi ya 14 wakiwa na pointi 36 huku Everton wakiwa nafasi ya 11 na pointi zao 44. Ukumbuke mpenzi wa bukobasports Sunderland wanamchezo wao mkononi hivyo mchezo wao wa leo ni 35, Everton wao wamecheza mchezo wao wa 36.Danny Graham wa Sunderland ...
 Meneja wa Benki ya Exim Tawi la Tanga, Bw. Gabriel masanja  (wapili kulia) akipeana mkono na Bw. Rajpaul Singh Dhani (kulia) dereva wa gari ya mashindano iliyoiwakilisha benki hiyo katika mchezo wa mashindano ya magari uliyofanyika mkoani Tanga hivi katibuni. Wengine katika picha ni wafanyakazi wa benki hiyo tawi la Tanga. Meneja wa Benki ya Exim...
Tayari Ligi Kuu Vodacom inae Bingwa, Yanga, Mshindi wa Pili, Azam FC, na Mshindi wa Tatu, Simba, lakini kazi kubwa ipo leo hii Jumamosi kwenye Mechi za mwisho kabisa za Msimu kuamua Timu ipi moja itaungana na Polisi Moro kuteremka Daraja. Yanga walishatwaa Ubingwa tangu Wiki iliyopita na Msimu ujao watawakilisha kwenye CAF CHAMPIONS LIGI na Azam FC, ambao wamepoteza Taji lao, wameshika...
Manchester United wakipanda train kuelekea Ugenini tayari kucheza mchezo wao ugenini na Crystal PalaceJonny Evans, Marouane Fellaini, Phil Jones, Luke Shaw, Radamel Falcao na Andreas Pereira walipofana mazoezi kujiandaa na Mchezo wao wa leo dhidi ya Crystal Palace.Jones nae alipasha hiyo jana ijumaa kwenye Uwanja wa Mazoezi wa Aon complexRadamel Falcao na Robin van Persie Marcos Rojo...
LIGI KUU ENGLAND Wikiendi hii inaanza safari yake ya kumalizia Raundi zake 3 za mwisho wakati Bingwa, Chelsea, anatarajiwa kukabidhiwa Kombe lao Jumapili Uwanjani kwao Stamford Bridge wakicheza na Liverpool ambayo bado ina matumaini ya kufuzu 4 Bora. Jumamosi zipo Mechi 7 ambazo nyingine ni muhimu kwa Timu zinazotaka kujinusuru kutoshushwa Daraja na hizo, kimahesabu, ni Timu 9 ambazo...

waliotembelea blog