Saturday, May 30, 2015

  NA MWANDISHI WETU,TANGA. Kikao cha Kamati ya Utendaji cha Coastal Union ambacho kimeketi katikati ya wiki hii chini ya Makamu Mwenyekiti wa Coastal Union, Steven Mguto kimeazimia kuwaacha baadhi ya wachezaji ambao muda wao ulikuwa umemalizika huku wengine wakiongezewa mikataba ya kuendelea kuitumikia timu hiyo kwa msimu ujao. Kimsingi wachezaji hao wameachwa na sasa wapo huru kutumikia...
Nahodha wa zamani wa England, Rio Ferdinand, ameamua kustaafu Soka. Ferdinand, mwenye Miaka 36, alimpoteza Mkewe Rebecca aliezaa nae Watoto Watatu hapo Mei Mosi Mwaka huu baada kuugua kansa na kufariki. Katika maisha yake ya Soka aliichezea Timu ya Taifa ya England mara 81 na pia kuwa Nahodha wake.Kwenye Klabu, Ferdinand alizichezea West Ham, Leeds United, Man United na kumalizia Msimu...
This song"NANA"Has Been Produced By Naahreal From Tanzania And Writen By Diamond Platnumz And Mr Flavour'The Video Was Shoot In Cape Town,South Africa By Godfather Production. Diamond Quote: ...

waliotembelea blog