Mama wa staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael
‘Lulu’, Lucresia Karugila kwa mara ya kwanza amemfungukia marehemu
Steven Kanumba aliyefariki dunia Aprili 7, 2012. Mahojiano hayo
yamefanywa hivi karibuni na gazeti la Risasi linalotolewa na kampuni ya
GPL
Ifuatayo ni habari hii kama ilivyoripotiwa na mwandishi wa gazeti hilo.
Katika mahojiano...
Sunday, October 6, 2013



Jumamosi 5 Oktoba 14:45 Manchester City 3 v Everton 1 17:00 Cardiff City 1 v 2 Newcastle United 17:00 Fulham 1 v 0 Stoke City 17:00 Hull City 0 v 0 Aston Villa 17:00 Liverpool 3 v 1 Crystal Palace 19:30 Sunderland 1 v 2 Manchester United
Jumapili 6 Oktoba
15:30 Norwich City v Chelsea
15:30 Southampton v Swansea City
18:00 West Bromwich Albion v Arsenal
18:00 Tottenham Hotspur...



Watu zaidi ya 60
waliokuwa wakisafiri wamenusurika kifo huku wengine wakijeruhiwa baada
ya basi la Mtei Express Coach kuyagonga magari matatu katika eneo la
kijiji cha Mawemairo Wilayani Babati Mkoani Manyara kilichopo katika
barabara kuu inayotoka mjini babati kuelekea mkoani Arusha.
Ajali
hiyo imelihusisha bus hilo lenye namba za usajili T 729 bes wakati
lilipokuwa likitokea mjini...


Bw Salumu ally meneja mahusiano ya nje
vodacom akifungua bonanza la waandishi wa habari mkoa wa kagera katika
viwanja vya gymkana bukoba mjini,bonanza hilo limejumuisha waandisi wa
habari wa magazeti,redio,television,na wapiga picha. bw salumu alieleza
huduma mbalimbali zinazotolewa a vodacom na kueleza kuwa wanatambua
mchango mkubwa unaotolewa na vyombo vya habari nakatika...
Subscribe to:
Posts (Atom)