Kocha wa Juve Massimiliano Allegri APAGAWA Baada ya timu yake kutoka sareNdani
ya Uwanja wa Stadio Olimpico usiku huu ilishindukana kutoa mshindi
baada ya Wenyeji AS Roma kutoka Sare na Juventus ya Bao 1-1 kwenye Mechi
ya Ligi Serie A. Matokeo hayo yameifanya Juve iendelee kuongoza Ligi hiyo ya Italy ikiwa Pointi 9 mbele ya Timu ya Pili AS Roma. Juve
walifunga Bao lao kwa Frikiki...
Monday, March 2, 2015



Ligi Kuu England itaendelea Jumanne na Jumatano kwa Timu zote 20 kucheza Mechi. Hapo
Jumanne Machi 3 zipo Mechi 3 kuanzia Villa Park ambako Aston Villa
watacheza na West Bromwich Albion wakati Hull City wataivaa Sunderland
na Southampton kucheza na Crystal Palace. Jumatano zipo Mechi 7
ambapo Mabingwa Watetezi Manchester City watakuwa kwao kucheza na
Leicester City huku Jirani zao, Man...



Na Bertha Lumala, Dar es Salam
Kipigo cha mabao 3-0 ugenini dhidi ya El-Merrikh ya Sudan, kimemponza
kocha Joseph Omog baada ya uongozi wa Azam FC kuamua kumtimua. Kwa
mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa facebook wa Azam FC muda
mfupi uliopita, Uongozi wa Azam FC umetangaza kumtimua raia huyo wa
Cameroon. Taarifa hiyo inasomeka: “Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha...



Jose
Mourinho ameelezea nia yake kutwaa Mataji mengine mara baada ya Jana
Uwanjani Wembley Jijini London Timu yake Chelsea kuichapa Tottenham
Hotspur Bao 2-0 na kubeba Capital One Cup likiwa ni Kombe lake la kwanza
tangu arejee kwa mara ya pili Klabuni Chelsea. Bao za Chelsea hapo Jana zilifungwa na Nahodha John Terry na Kyle Walker aliejifunga mwenyewe.kiongea
mara baada ya Mechi hiyo,...



Jeneza lenye mwili wa aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi na
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM,Marehemu Kapteni John Komba likiwa
kwenye viwanja vya Karimjee,jijini Dar es salaam,wakati wa shughuli ya
kuaga.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakitoa heshima za
mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba,mbunge wa jimbo la...


.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image)
Jeneza
lililobeba mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa
Halmashauri kuu ya CCM marehemu John Damiano Kumba ukipokelewa katika
uwanja wa ndege wa Songe na umati mkubwa wa waombolezaji wakiongozwa na
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mhe.Mwambungu,Mhe.John Nchimbi,Mbunge
wa Songea Mjini,na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais(Kazi Maalum)Mark
Mwandosya,kulia. Marehemu anatarajiwa kuzikwa...
Subscribe to:
Posts (Atom)