Monday, March 2, 2015

Kocha wa Juve Massimiliano Allegri APAGAWA Baada ya timu yake kutoka sareNdani ya Uwanja wa  Stadio Olimpico usiku huu ilishindukana  kutoa mshindi baada ya Wenyeji AS Roma kutoka Sare na Juventus ya Bao 1-1 kwenye Mechi ya Ligi Serie A. Matokeo hayo yameifanya Juve iendelee kuongoza Ligi hiyo ya Italy ikiwa Pointi 9 mbele ya Timu ya Pili AS Roma. Juve walifunga Bao lao kwa Frikiki...
Ligi Kuu England itaendelea Jumanne na Jumatano kwa Timu zote 20 kucheza Mechi. Hapo Jumanne Machi 3 zipo Mechi 3 kuanzia Villa Park ambako Aston Villa watacheza na West Bromwich Albion wakati Hull City wataivaa Sunderland na Southampton kucheza na Crystal Palace. Jumatano zipo Mechi 7 ambapo Mabingwa Watetezi Manchester City watakuwa kwao kucheza na Leicester City huku Jirani zao, Man...
Na Bertha Lumala, Dar es Salam Kipigo cha mabao 3-0 ugenini dhidi ya El-Merrikh ya Sudan, kimemponza kocha Joseph Omog baada ya uongozi wa Azam FC kuamua kumtimua. Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa facebook wa Azam FC muda mfupi uliopita, Uongozi wa Azam FC umetangaza kumtimua raia huyo wa Cameroon. Taarifa hiyo inasomeka: “Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha...
Jose Mourinho ameelezea nia yake kutwaa Mataji mengine mara baada ya Jana Uwanjani Wembley Jijini London Timu yake Chelsea kuichapa Tottenham Hotspur Bao 2-0 na kubeba Capital One Cup likiwa ni Kombe lake la kwanza tangu arejee kwa mara ya pili Klabuni Chelsea. Bao za Chelsea hapo Jana zilifungwa na Nahodha John Terry na Kyle Walker aliejifunga mwenyewe.kiongea mara baada ya Mechi hiyo,...
Jeneza lenye mwili wa aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM,Marehemu Kapteni John Komba likiwa kwenye viwanja vya Karimjee,jijini Dar es salaam,wakati wa shughuli ya kuaga.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba,mbunge wa jimbo la...
Jeneza lililobeba mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM marehemu John Damiano Kumba ukipokelewa katika uwanja wa ndege wa Songe na umati mkubwa wa waombolezaji wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mhe.Mwambungu,Mhe.John Nchimbi,Mbunge wa Songea Mjini,na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais(Kazi Maalum)Mark Mwandosya,kulia. Marehemu anatarajiwa kuzikwa...

waliotembelea blog