Msanii
Tekno Miles (wa kwanza kushoto) akizungumza na waandishi wa habari
(hawapo pichani) wakati wa hafla iliyomtambulisha rasmi kwa waandishi wa
habari iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.
Msanii huyo anatarajiwa kuburudisha katika Tamasha la mwisho la “Grown
and Sexy, the Gold finale” litakalofanyika katika ukumbi wa King Solomon
uliopo Namanga karibu na...
Thursday, December 31, 2015


JANA
Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp ilibidi atulizwe munkari na Polisi ya
kumpandishia Meneja mwenzake wa Sunderland Sam Allardyce wakati wa Mechi
ya Ligi Kuu England Uwanjani Stadium of Light.
Klopp alipandwa na jazba wakati Jeremiah Lens wa Sunderland alipomchezea rafu mbaya Beki wa Liverpool Mamadou Sakho. Wakati huo Liverpool walikuwa tayari washafunga Bao lao pekee na la ushindi kupitia...


ENGLAND
imeanika Listi ya Wagombea wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwa Nchi
yao ambapo pia ipo Tuzo kwa Chipukizi Vijana wa chini wa Miaka 21, U-21.
Kepteni wa England, Wayne Rooney, ambae alishinda Tuzo hiyo Mwaka Jana, ni miongoni mwa Wachezaji Watano wanaogombea. Rooney
Mwaka huu aliiongoza England kufuzu kuingia Fainali za...


Ronaldo akishangilia moja ya bao lakeLeo
La Liga imerejea tena na ndani ya Santiago Bernabeu, Mchezaji Bora
Duniani Cristiano Ronaldo aliiongoza Real Madrid kuichapa Real Sociedad
Bao 3-1 na kuongoza Ligi hii ya Spain pengine kwa muda tu hadi baadae
Usiku huu. Ronaldo alikosa kuipa Real Bao wakati walipopewa Penati
na yeye kuipaisha juu lakini Dakika ya 42 wakapata Penati nyingine...
Subscribe to:
Posts (Atom)