Toka
nimeanza kuandika na kufatilia habari sijawahi kusikia jeshi la nchi
limechukua hatamu kuendesha mashindano ya urembo tena mashindano
yanayokutanisha warembo kutoka sehemu mbalimbali za taifa ili kumtafuta
mshindi.
Stori
hii ya kipekee inatokea Uganda ambapo jeshi la nchi hiyo limeamua hivyo
baada ya kuona ubabaishaji unaofanywa na Waandaaji wa Miss Uganda
shindano ambalo...
Thursday, August 28, 2014


Siku
kadhaa baada ya Frank Lampard kutangaza kustaafu soka la kimataifa –
jana ilikuwa siku nyingine kwa wanasoka wawili wa kimataifa barani nao
walitangaza uamuzi wa kuachana na soka la kimataifa.
Samuel Eto’o na Xabi Alonso kwa wakati tofauti jana walitumia
mitandao ya kijamii kutangaza uamuzi wao wa kuachana na soka la
kimataifa.
Alianza Xabi Alonso kupitia mtandao wa Twitter...


Wiki kadhaa baada ya kuteuliwa kuwa nahodha mpya wa Manchester
United, mshambuliaji Wayne Rooney leo amepata uongozi mpya kwenye medani
za soka.
Rooney ameteuliwa na kocha Roy Hodgson amemteua mshambuliaji huyo kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa.
Rooney mwenye miaka 28 amechukua mikoba iliyoachwa na kiungo wa Liverpool, Steven Gerrard aliyestaafu.
Rooney aliwahi kuvaa kitambaa...


Serengeti fiesta Moshi wapewa fursa ya kuonja radha
Mhehimiwa Temba ametangaza rasmi kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la “Wazee
wa jiji” jumamosi hii. Serengeti fiesta Moshi wamepewa fursa ya kuonja
radha ya wimbo huo siku ya Jumamosi katika uwanja Majengo Jijini humo.
Mheshimiwa Temba ambaye ni mzawa wa jiji
hilo anatarajia kutumia fura ya Serengeti fiesta Moshi kuuzindua...



Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi
alipowasili eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero
wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare
kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya
uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea...


Ethiopia na Kenya zimetangaza niya ya kutaka kuwa wenyeji wa kombe la
mataifa bingwa barani Afrika mwaka wa 2017 baada ya Libya kujiondoa.Libya
ilitangaza kauli hiyo baada ya mapigano kuchacha baina ya makundi
mawili hasimu yaliyowanyima waandalizi fursa ya kujenga viwanja vipya
vya mashindano hayo.Ethiopia, ambayo imewahi kuwa mwenyeji wa
mashindano hayo katika miaka ya 1962, 1968 na...


Straika
wa Arsenal Olivier Giroud atakuwa nje ya Uwanja hadi baada ya Mwaka
mpya kufuatia kufanyiwa upasuaji kutibu Mguu wake uliovunjika. Mfaransa
huyo mwenye Miaka 27 aliumia Jumamosi iliyopita huko Goodison Park
wakati Arsenal inatoka Sare 2-2 na Everton kwenye Mechi ya Ligi Kuu
England. Akitangaza habari hizi, Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger, alisema Giroud atakuwa nje kwa Miezi...


Alexis Sanchez akishangilia bao lake.Alexis Sanchez aliipachia bao na kufanya 1-0 dhidi ya timu ya Uturuki Besiktas kwenye dakika za majeruhi za kipindi cha kwanza baada ya Jack
Wilshere
wa Arsenal kufanya jitihada na kumwachia afunge Sanchez aliyekuwa sehemu
nzuri na kufunga bao hilo. Arsenal mpira huu hawakuumaliza 11 dakika ya
75 kipindi cha pili mchezaji wao Debuchy alipewa kadi ya...


Samuel
Eto'o ametupilia mbali madai kuwa ana bifu na Jose Mourinho wakati timu
yake mpya Everton ikijitayarisha kuikabili Klabu yake ya zamani Chelsea
hapo Jumamosi. Eto’o, Mchezaji wa Kimataifa wa Cameroon, na Meneja
wa Chelsea Jose Mourinho walikuwa pamoja huko Inter Milan na kutwaa UEFA
CHAMPIONS LIGI pamoja na akaja England Mwaka mmoja uliopita kuungana na
Mourinho huko Chelsea. Lakini...


Crystal Palace imemteua Bosi wao wa zamani Neil Warnock kama Meneja wao mpya. Warnock, mwenye Miaka 65 na ambae alikuwa Palace kati ya Mwaka 2007 na 2010, amesaini Mkataba wa Miaka Miwili. Mkongwe
huyo mwenye makeke na vituko anachukuwa wadhifa kutoka kwa Tony Pulis
ambae alibwaga manyanga Masaa 48 tu kabla Msimu mpya wa Ligi Kuu England
kuanza hapo Agosti 16. Msimu uliopita, Tony Pulis,...
Subscribe to:
Posts (Atom)