
HIVI NDIO HALI YA JENGO LA WESTGATE BAADA LA SHAMBULIO LA AL-SHABAAB...!!
Picha za nje ya jengo la Westgate hazioneshi uhalisia wa hali iliyoko
ndani ya jengo baada ya shambulio la kigaidi Jumamosi iliyopita jijini
Nairobi, Kenya na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 70.
Picha hizi zinatoa picha halisi ya jinsi jengo hilo lilivyoharibika
vibaya kwa ndani baada ya ghorofa tatu...