Wednesday, April 8, 2015

obin van Persie yupo FIT kwa derby  dhidi ya majirani zao Man city Mshambuliaji Robin van persie amepona kabisa kwa mchezo wa jumapili Alikosekana tangu tarehe 21 mwezi wa pili Si rahisi kwa van Persie kuanza kikosi cha kwanza dhidi ya city. Na Anwar binde, Robin van Persie amejitangaza kuwa yupo vizuri kwa mchezo wa jumapili dhidi ya wapinzani wao wa jadi Manchester city. Van Persie amekosekana...
Philippe Coutinho akishangilia bao lake dakika ya 71 huko Ugenini Ewood Park Kipindi cha pili dakika ya 71 Philippe Coutinho aliwafungia bao la kuongoza Liverpool kwa kufanya 1-0 dhidi ya Blackburn Rovers.Mapumziko hakuna Timu iliyoliona lango la mwenzake, Si Blackburn Rovers wala Liverpool.Raheem Sterring kaanza kipindi cha kwanza katika kipute hiki cha marudiano kati ya Blackburn Rovers vs...
    MSANII EMMA BOY TOKEA KAHAMA  ...
UMEFANYIKA CHINI YA PRODUCEI MR T TOUCHEZ STUDIO FREE NATION SO...
MUDA mfupi uliopita kumefanyika mkutano wa waandishi wa habari na uongozi wa African Stars wana Twanga Pepeta. Mkutano huo uliofanyika Nemax Hotel, Kinondoni, Dar es Salaam, mwanamuziki wa siku nyingi aliyekuwa akiendesha bendi yake ya Extra Bongo ametangaza kuwa anarudi kwenye bendi yake ya zamani ya African Stars maarufu kwa Twanga Pepeta. Pamoja na Ally Chocky waliokuweko katika...
Aslay Isihaka maarufu kwa jina la ‘Dogo Aslay’ na  Bakari Abdul katuti ‘Beka’ wakiimba Moja ya Wimbo wao kwenye Ukumbi wa "Rest House" ukumbi wa Jeshi  Wilayani Biharamulo Mkoa wa Kagera kwenye Shoo yao iliyoweza kushuhudiwa na Mashabiki  wengi wa Muziki huo wa Bongo Flava katika Ukumbi huo Biharamulo. Shoo hiyo ilifanyika Usiku wa tarehe 07.04.2015 katika Siku maalum...

waliotembelea blog