
Meneja
wa bidhaa wa benki ya Barclays Tanzania, Valence Luteganya akizungumza
na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kuzindua
kampeni ya matumizi ya Kadi za VISA za benki ya Barclays kwaajili ya
wateja wake. Pia Lutenganya amesema kuwa kampeni hii itadumu kwa muda wa
miezi mitatu kuanzia Desemba 17 mwaka huu hadi Februari 28, 2016.
Kampeni hii itamwezesha...