Meza ya kufanya usajili kabla ya kuingia ndani kuonesha kipaji chako kwa majaji wa TMT Foleni ya wasanii wa Mkoa wa mbeya waliojitokeza kuchukua form kujisajili katika Shindano hilo Foleni ya wasanii wa Mkoa wa mbeya waliojitokeza kuchukua form kujisajili katika Shindano hilo Wasanii wa Mkoa wa Mbeya walipokuwa wakipewa maelezo na kuuliza maswali kuhusu shindano la TMT Msaani
maarufu...
Thursday, May 21, 2015


Wachezaji wa Juventus wakisherekea kutwaa Coppa Italia baada ya kuilaza Lazio bao 2-1 kwenye dakika za majeruhi.
Kepteni wa Juventus Giorgio Chiellini akiwa amebeba Kombe walilolitwaa
usiku baada ya kuibuka na Ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Juventus.
Tangu 1995 na sasa wanalinyanyua kwa mara ya 10
Carlos Tevez na Roberto Pereyra wakiwa na Mwali wao kwenye chumba cha kubadilishia...
Subscribe to:
Posts (Atom)