Na Bertha Lumala, Dar es SalaamVinara
wa msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), Mtibwa Sugar FC
wamewaahidi wapenzi wa soka visiwani Zanzibar kufurahia makali yao ya
msimu huu watakaposhiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi mwakani.Mtibwa
Sugar FC, mabingwa wa Tanzania Bara 1999 na 2000, ni miongoni mwa timu
nne za VPL zilizoalikwa na Chama cha Soka Zanzibar (ZFA) kushiriki...
Wednesday, December 31, 2014



MOTO WA BURUDANI KUWAKA COCO BEACH MWAKA MPYA
Wapenzi
wa burudani ya muziki wa kizazi kipya watapata burudani ya fungua mwaka
kutoka kwa magwiji wa muziki wa kizazi kipya ambao wanatamba nchini
katika tamasha la wazi la maisha murua na Vodacom katika ufukwe wa Coco
beach jijini Dar es Salaam.Baadhi ya magwiji hao ni Profesa
J,Temba,Chege,Roma Mkatoliki na wengineo wengi.
Tamasha hili litakalokutanisha...


MSIMAMO ULIVYO:
PosLogo &TeamPWDLGDPts
1Chelsea1914412746
2Manchester City1913422443
3Manchester United1910631436
4Southampton1910361733
5Arsenal199641133
6West Ham United19946731
7Tottenham Hotspur19946031
8Liverpool19847128
9Swansea City19847128
10Newcastle United19757-626
11Stoke City19748-225
12Everton19568-221
13Aston Villa19568-1121
14Sunderland193115-1120
15Queens Park Rangers195311-1318
16West...
Subscribe to:
Posts (Atom)