Nathaniel Clyne yuko mbioni kujiunga na Liverpool baada ya Klabu yake Southampton kuikubali Ofa ya Pauni Milioni 12.5. Clyne, ambae ni Fulbeki wa Kulia, anakuwa Mchezaji wa 6 kusainiwa na Liverpool katika kipindi hiki cha kuelekea Msimu mpya. Uhamisho
huu wa Clyne, mwenye Miaka 24 na ambae ameichezea England mara 5,
utakamilika baada ya upimaji wa Afya yake na makubaliano ya maslahi yake
...
Thursday, June 25, 2015


Zipo
ripoti nzito toka England zinazodai Meneja wa Manchester United Louis
van Gaal na Kipa wa Tottenham Hugo Lloris wamefikia muafaka na Kipa huyo
wa Kimataifa wa France ambae ameshakubaliana kuhusu maslahi yake
binafsi huko Old Trafford. Huku kukiwa na mipango ya chini chini ya
Kipa Nambari Wani David de Gea kurudi kwao Spain kuidakia Real Madrid,
kumchukua Hugo Lloris kunaelekea kuziba...


Wakicheza kwao Estadio Nacional de
Chile, Santiago, Chile wameifunga Mtu 9 Uruguay Bao 1-0 na kutinga Nusu
Fainali ya Kombe la Mataifa ya Marekani ya Kusini, COPA AMERICA.
Bao hilo la Chile lilifungwa na Mauricio
Isla katika Dakika ya 81 wakati Uruguay, Mabingwa Watetezi, wakicheza
Mtu 10 baada ya Edinson Cavani kutolewa kwa Kadi Nyekundu katika Dakika
ya 63 kufuatia...
Subscribe to:
Posts (Atom)