Mwimbaji
wa nyimbo za Injili Rose Mhando akitoa burudani na waimbaji wake katika
Tamasha la pasaka lililoandaliwa na Kampuni ya Msama Promotions,
lilifanyika Uwanja wa Taifa leo ...
Tuesday, April 7, 2015


Maandamano ya Wanamichezo wa timu mbili za Wakaguzin na Wadhibiti wa
hesabu za Serekali wa Zanzibar na Tanzania wakipita kwa maandamano
wakati wa ufunguzi wa michezo yao iliofanyika uwanja wa amaan Zanzibar
timu ya CAG Tanzania imeshinda mchezo wa mpira kwa mabao 7--0. Maandamano
ya Wanamichezo wa timu mbili za Wakaguzin na Wadhibiti wa hesabu za
Serekali wa Zanzibar na Tanzania wakipita...


Na Faustine Ruta, Geita
Kikundi mahiri cha KAPOTIVE Star Singers
kutoka Mjini
Bukoba leo kimefanya Tamasha kubwa la Pasaka kwenye Mji wa Geita katika
Ukumbi wa GEDECO na kushuhudiwa na Umati wa Watu wengi zikiwemo Kwaya
mbalimbali za hapa Geita na Waumini mbalimbali na kuifurahia Pasaka hiyo
ambayo ni Alama ya Ukombozi wa Mwanadamu dhidi ya Dhambi kupitia kifo
na Ufufuko wa Yesu Kristo....


Na Faustine Ruta, Bukoba
Kundi zima la Yamoto Band punde
walitinga Katika Kituo cha Radio Kasibante 88.5 Bukoba kuongea moja kwa
moja na Wakaazi wa Bukoba juu ya Shoo ya yao inayotarajiwa kufanyika
Usiku huu katika Ukumbi wa Burudani wa Lina's Night Bukoba. Bendi
inayokuja kasi hapa Nchini inayoundwa na Vijana Machachari kama Aslay,
Becka, Bella na Maromboso wameteta na Wanabukoba kwamba...
Subscribe to:
Posts (Atom)