Paris
St-Germain watatinga Mechi hii ya Nyumbani kwao ya Kundi F dhidi ya FC
Barcelona bila ya Straika wao mahiri Zlatan Ibrahimovic ambae ameumia
kifundo cha Mguu.
Katika Mechi za kwanza za Kundi lao, PSG ilitoka Sare na Ajax na Barcelona kuichapa Apoel Nicosia Bao 1-0.
Wakati
PSG hawajafungwa hata Mechi moja katika Mechi 9 Msimu huu, ingawa 6
kati yake ni suluhu, Barcelona wamekuwa...
Tuesday, September 30, 2014


Dakika
ya 15 Peter Crouch aliifungia bao la kwanza la kichwa na kuifanya
Stoke City kuwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Newcastle baada ya Victor
Moses kutoa krosi safi kwa Crouch ambaye ameunga kwa kichwa hadi langoni
mwa Newcastle.Kibarua mashakani kwa kocha Pardew!
Mpaka mapumziko Stoke ndio ilikuwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Newcastle United.Ushindi
wa kwanza wa Nyumbani kwa Stoke...



Wafanyakazi wa kampuni ya Airtel Tanzania (kutoka kushoto), Kema
Mabango, Abdallah Gunda na Jackson Mmbando wakishiriki katika shindano
la kukuna nazi wakati wa Siku ya Wanafamilia ya Airtel, iliyofanyika
katika viunga vya Fun City Kigamboni jijini Dar es salaam jana.Washindi wa shindano la kukuna nazi wakishow love. Kutoka(kushoto), Mshindi wa Kwanza, Abdallah Gunda, Mshindi wa Pili, JacksonMmbando...
Subscribe to:
Posts (Atom)