Saturday, October 17, 2015

Rooney alipoifunga timu yake ya zamani Everton na kunyanyua mikono juu, likiwa bao la tatu kwa Man United. (0-3) Manchester United wakiongoza.2-0 Ander Herrera akishangilia bao lake la piliBao la pili lilifungwa kwa kichwa dakika ya 22 na Ander Herrera na bao la kwanza lilifungwa na Morgan Schneiderlin dakika ya 18 shuti kali.VIKOSI: Everton: Howard, Coleman, Stones, Jagielka, Galloway,...
Bao za Real Madrid zilifungwa kipindi cha kwanza na Marcelo dakika ya 27 na bao la pili kufungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 30. Bao la tatu lilifungwa na Jese dakika ya 81 na kufanya 3-0 dhidi ya Levante. ...
VIKOSI:Man City: Hart, Zabaleta, Otamendi, Mangala, Sagna, Fernandinho, Toure, Jesus Navas, De Bruyne, Sterling, Bony.Akiba: Kompany, Fernando, Nasri, Caballero, Demichelis, Roberts, Iheanacho. Bournemouth: Boruc, Francis, Cook, Distin, Daniels, Smith, Gosling, Surman, Ritchie, O'Kane, Murray.Akiba: MacDonald, King, Kermorgant, Federici, Bennett, Cargill, Pugh. Refa: Mike De...
LIVE: EVERTON 0 v 2 MANCHESTER UNITED Bao la pili lilifungwa kwa kichwa dakika ya 22 na Ander Herrera na bao la kwanza lilifungwa na Morgan Schneiderlin dakika ya 18 shuti kali.VIKOSI: Everton: Howard, Coleman, Stones, Jagielka, Galloway, McCarthy, Barry, Lennon, Barkley, Naismith, Lukaku.Subs: Robles, Kone, Mirallas, Deulofeu, Osman, Funes Mori, Browning. Man Utd: De Gea, Darmian, Smalling,...
 Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe enzi za Uhai wake.  Msaidizi wa Mbunge huyo, Casablanga Haule enzi za Uhai wake.  Padri Plasdus Ngabuma enzi za Uhai wake.  Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deogratias Filikunjombe wakati wa ibada ya kuuaga iliyofanyika nyumbani kwake Kijichi Dar es Salaam leo...
VIKOSI:Tottenham XI: Lloris, Walker, Alderweireld, Vertonghen, Rose, Alli, Dembele, Chadli, Eriksen, Lamela, Kane. Subs: Vorm, Davies, Trippier, Wimmer, Clinton, Townsend, WinksLiverpool XI: Mignolet, Clyne, Skrtel, Sakho, Moreno, Can, Lucas, Milner, Lallana, Coutinho, Origi. Subs: Bogdan, Toure, Allen, Ibe, Sinclair, Teixeira, Randa...
Sergio Aguero na David Silva wataukosa mtanange wa Man City dhidi Bournemouth leo. Hapo hapo, Tottenham na Liverpool nao wanamajeruhi kadhaa. Wayne Rooney wa Man United yeye yupo vizuri na anataraji kuwaongoza Manchester United kama Nahodha wao huko Goodson Park Everton leo hii. Pia Michael Carrick nae amepona.VIKOSI VINATEGEMEWA KUWA HIVI:MAN UNITED DHIDI YA EVERTON De Gea, Romero, Blind,...
Kocha wa Manchester United Louis van Gaal anadhani umefika wakati wa Wayne Rooney kuanza kuonyesha cheche zake tena kwenye Uwanja wa Goodison Park ambao ndio alichomoza na kuwa Staa wa Dunia. Rooney alianza kuichezea Timu ya Kwanza ya Everton tangu 2002, akiwa Kijana wa Miaka 17, na kwa Miaka Miwili alizoa kila sifa lakini Mwaka 2004 alihamia Man United kwa Dau la Pauni Milioni 30 na kuzua...
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ambaye yupo katika wakati mgumu kutokana na mwenendo mbovu wa timu yake. Mourinho ambaye amepigwa faini ya pound 50000 na kufungiwa mchezo mmoja kutokaa katika benchi la timu hiyo kufuatia kauli aliyoitoa kwa muamuzi kuwa aliogopa kuwapa...

waliotembelea blog