Sunday, July 28, 2013

 Chokochoko za Nduli Iddi Amin Dada, kuichokoza Tanzania hadi kupelekea kuanza kwa vita iliyomfaya aikimbie nchi yake mwaka 1978, ulikuwa ni Mto huu wa Kagera, ambapo alikuwa akitaka mto huu ndiyo uwe mpaka halisi unaotenganisha nchi yake ya Uganda na Tanzania. Jambo hilo lilimkasilisha sana Baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere, aliyeamua kumuadabisha baada ya yeye kutangaza kwa kejeli...
 Chokochoko za Nduli Iddi Amin Dada, kuichokoza Tanzania hadi kupelekea kuanza kwa vita iliyomfaya aikimbie nchi yake mwaka 1978, ulikuwa ni Mto huu wa Kagera, ambapo alikuwa akitaka mto huu ndiyo uwe mpaka halisi unaotenganisha nchi yake ya Uganda na Tanzania. Jambo hilo lilimkasilisha sana Baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere, aliyeamua kumuadabisha baada ya yeye kutangaza kwa kejeli...
MZIMU wa serikali tatu bado unaendelea kukitesa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo jana, Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alipinga tena uwepo wa serikali tatu na kudai kuwa waliotoa maoni hayo ni wazee wanaosubiri kufa.  Akizungumza jijini Dar es Salaam katika kongamano la Umoja wa Vijana (UVCCM) la kujadili mchakato wa Katiba Mpya, katika ukumbi wa Arnatouglo, Nnauye...
Kuna habari tumeletewa na msomaji wa tovuti yetu ya bongo movies kumhusu mwanadada wetu muigizaji wa Filamu aliyepata tuzo hivi karibuni, Jennifer Kyaka al-maarufu kama Odama kuhusu safari zake za kwenda nje ya nchi. Habari au tuhuma hizi tuziite, zinasema kuwa mwanadada huyo huwa haendi nje ya nchi kama anavyowaambia fans wake...
Italia bado imendelea kukumbwa na wimbi kubwa la ubaguzi wa rangi pale Waziri wa Kwanza Mweusi alipotupiwa ndizi alipokuwa akihutubia katika mkutano wa Chama. Waziri wa Ushirikiano ni Mwitalia wa kwanza mweudi aliyeteuliwa hivi karibuni na amekuwa akipata taabu sana kutokana na dhana ya ubaguzi iliyojengeka miongoni mwa raia wa Italia. Cesile Kyenge ni mzaliwa...

waliotembelea blog