DICKSON ISHENGOMA NA ROSE MBABAZI WAMEREMETA LEO BUKOBA!
Bi. Harusi Rose Mbabazi akiwa na Mpambe wake kwenye Gari tayari kuelekea Kanisa kuu Cathedral Bukoba.
Wakiwa Kanisani tayari
Bwana Harusi Dickson akamvisha pete mkewe Rose Mbabazi leo hii Kanisani.
Bibi Harusi Rose Mbabazi akimvisha Pete Mumewe Bw. Dickson Ishengoma
Waumini waliohudhuria ibada hiyo wakiwa kwenye Furaha
Uthibitsho...
Saturday, July 19, 2014


Rais
Mpya wa Jumuiya ya Watanzania waliosoma Korea (KAAT), Bw. Stephen
Katemba (Kulia) akizungumza mara baada ya kuchaguliwa. Anayemsikiliza ni
Mwakilishi Mkazi wa KOICA, Bw. Seung-Beom Kim (Kushoto).
Viongozi wapya KAAT na viongozi wa zamani wakipongezana mara baada ya uchaguzi huo.
Makamu
wa Rais wa KAAT aliyemaliza muda wake, Bibi Margaret Alfanies
(Katikati)...
Subscribe to:
Posts (Atom)