Ligi
Kuu Vodacom, VPL, Leo ipo dimbani kwa Mechi 3 za Jijini Dar es Salaam,
Mbeya na huko Tanga huku Yanga wakiwa na nafasi poa kutwaa uongozi
wakishinda. Yanga Leo watakuwa Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
kucheza na Kagera Sugar na ushindi kwao utawashusha Mabingwa Watetezi
Azam FC kutoka kileleni. Lakini Kagera Sugar ni Timu ngumu ambayo katika Mechi ya kwanza ya Ligi Msimu huu...
Wednesday, March 18, 2015


UEFA CHAMPIONS LEAGUE: LEO JUMATANO HAPATOSHI!! BARCELONA vs MANCHESTER CITY HUKO NOU CAMP
Manchester City wana kibarua kigumu kusonga Robo Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI kwa mara yao ya kwanza kabisa. City
Jumatano Usiku wapo Nou Camp kurudiana na Barcelona baada ya kuchapwa
2-1 na Barca wakiwa kwao Etihad Wiki 3 zilizopita katika Mechi ya
kwanza. Kwenye
Mechi hiyo ambayo Barca walitawala,...


Arsenal
iliichapa AS Monaco 2-0 kwao Stade Louis II Jijini Monaco ambako
hawajafungwa tangu 2005 lakini wametupwa nje ya UEFA kwa Bao za Ugenini
na hii ni mara ya 5 mfululizo kwa Arsenal kushindwa kutinga Robo
Fainali. Arsenal walifungwa kwao Emirates Bao 3-1 na matokeo ya
usiku huu kufanya Jumla ya Mabao kwa Mechi mbili kuwa 3-3 na AS Monaco
kutinga Robo Fainali kwa Ubora wa Bao za Ugenini....
Subscribe to:
Posts (Atom)