‘FC Shakhtar regretfully informs that on 8 February 2014 the life of a footballer Maicon Pereira de Oliveira tragically ended.‘He died in a car crash in Donetsk.‘He was a talented footballer, open and friendly guy. Maicon loved life and knew how to make it positive and bright.‘Tragic, untimely and absurd death took away a wonderful person from our ranks. Maicon was only 25 years old.‘It
...
Saturday, February 8, 2014


Mkutano
wa nane wa maajadiliano ya wazi kuhusu maandalizi ya malengo
mpya ya maendeleo endelevu baada ya 2015 ( SDGs) umekamilika siku ya
Ijumaa hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa. Katika Mkutano huu wa wa
wiki moja wajumbe walijadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu mada
kadhaa ambazo ziliwasilishwa mbele...


Mbunge
wa jimbo la Kinondoni Idd Azzan (kushoto) akimpa matibabu mchezaji wa
Shule ya Sekondari Kawe Thomas Ibrahim aliyeumia wakati wa mechi ya
ufunguzi wa mashindano ya Dar es Salaam Community Cup leoo katika
viwanja vya shule ya msingi Turiani. Katibu
Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Henry Lihaya
akimkaribisha Waziri...


KLABU
ya Manchester City imepanga kuongeza Uwanja wake wa Etihad kwa zaidi ya
viti 14,000 ambapo mara baada ya mpango huo kukamilika uwanja huo
utakuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki 62,170 badala ya 47,620 kama
ilivyo sasa. Mpango huo tayari umeshawasilishwa katika tume ya mipango
ya halmashauri na kutokana na ripoti iliyotolewa jana mpango huo
umekubaliwa. Kama matengenezo ya...



Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamali
Malinzi (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jana kuhusu siku
100 tangu walipoingia madarakani. Kulia ni msaidizi wa Rais masuala ya Ufundi,
Pelegrinius Rutahyuga na kushoto ni Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura.
Rais
wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameelezea hatua
zilizofikiwa...
Subscribe to:
Posts (Atom)