LIVERPOOL leo wametoka nyuma ya bao 2-0 Aston
Villa bao zimefungwa na Andreas Weimann ambaye amefunga bao la kwanza
katika dakika ya 25 na bao la pili likifungwa na Christian Benteke bao
safi la kichwa baada ya mlinda mlango wa Liverpool kuukosa na mchezaji
mwingine na hatimae Christian Benteke kumalizia bao hilo nyavuni katika
dakika 36.
Dakika ya 53 kipindi cha pili liverpool
wamepata...
Saturday, January 18, 2014


Mchezaji Jesus Navas nae akishangilia bao la pili kwa City baada ya kufunga bao hilo dhidi ya Cardiff City.
BAO la tatu kwa City limefungwa dakika
ya 76 na mchezaji wao matata Yaya Touré na bao la mwisho likifungwa na
Sergio Agüero katika dakika ya 79.Bao za Cardiff City zimefungwa
kipindi cha kwanza wakianza kuwafunga City kupitia kwa mchezaji Craig
Noone katika dakika ya 29 kipindi...


Kipindi cha kwanza dakika ya nne Jay
Rodriguez anaipatchikia bao timu yake ya Southampton akiwa ndani ya
box. Bao hilo limepatikana baada ya kupewa basi safi kutoka kwa Morgan
Schneiderlin. Dakika ya 31 mchezaji wa Southampton Dejan Lovren
akaongeza bao jingine baada ya kupigwa mpira kama kona. Dakika moja
kupita kwenye dakika ya 32 mchezaji wa Sunderland Fabio Borini nae
akaonesha...


RATIBA:
Jumamosi Januari 18
15:45 Sunderland v Southampton
18:00 Arsenal v Fulham
18:00 Crystal Palace v Stoke
18:00 Man City v Cardiff
18:00 Norwich v Hull
18:00 West Ham v Newcastle
20:30 Liverpool v Aston Villa
Jumapili Januari 19
16:30 Swansea v Tottenham
19:00 Chelsea v Man United
Jumatatu Januari 20
23:00 West Brom v Everton
MSIMAMO WA LIGI KUU YA ENGLAND
Pos.Logo...
Subscribe to:
Posts (Atom)