LIVERPOOL leo wametoka nyuma ya bao 2-0
Dakika ya 53 kipindi cha pili liverpool wamepata bahati baada ya Suarez kujiangusha kwenye box na hatimaye Mwamuzi J. Moss kudai ni penati na mkwaju huo wa penati umefungwa na kapteni wa Liverpool Steven Gerrard. Sare hii inawabakisha hapo hapo katika nafasi ya nne Liverpool wakisubiri mtanange wa kesho kutwa jumatatu wa West Brom na Everton matokeo yake. Kama Everton watashinda watawaondoa katika nafasi hiyo ya nne.
MATOKEO YA JUMAMOSI:
Jumamosi Januari 18
Sunderland 2 v Southampton 2
Arsenal 2 v Fulham 0
Crystal Palace 1 v Stoke 0
Man City 4 v Cardiff 2
Norwich 1 v Hull City 0
West Ham 1 v Newcastle 3
Liverpool 2 v Aston Villa 2
Jumamosi Januari 18
Sunderland 2 v Southampton 2
Arsenal 2 v Fulham 0
Crystal Palace 1 v Stoke 0
Man City 4 v Cardiff 2
Norwich 1 v Hull City 0
West Ham 1 v Newcastle 3
Liverpool 2 v Aston Villa 2
RSS Feed
Twitter
8:05 PM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment