Zinaitwa
African Muzik Magazine Awards ambapo za mwaka huu 2014 zimetolewa huko
Eisemann Center Texas Marekani na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali
akiwemo Diamond wa Tanzania ambaye pia alikua mmoja wa wanaowania tuzo
hizo
Habari njema za ushindi wote huu
ni kwa mujibu wa meneja wake Babu Tale ambaye nae kahudhuria tuzo hizi...
Sunday, July 27, 2014


Majaji
wa shindano la TMT wakimsikiliza kwa makini Mshiriki wa TMT, Mwanaafa
Mwinzago (anayeonekana kwenye runinga mbele) wakati akijielezea kabla ya
filamu fupi aliyoshiriki kuonyeshwa ili majaji waweze kutoa hukumu kwa
washiriki wa kundi hilo
Majaji
wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) katikati wakiwasikiliza
washiriki wa kundi la kwanza wanavyojielezea...


Afisa Mipango VVU/UKIMWI kutoka UNICEF, Bi. Alice Ijumba akitoka
kukagua jukwaa lenye hadhi ya kimataifa la Ebony FM kwenye uzinduzi wa
kampeni ya SHUGA Redio uliofanyika jana kwenye viunga vya Samora mkoani
Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Baadhi
ya wanafunzi wa shule ya Sekondari Tosamaganga wakiwasili kwenye
viwanja vya Samora mjini Iringa...
Subscribe to:
Posts (Atom)