Kamati
kuu ya shirikisho la mchezo wa soka duniani FIFA, imeidhinisha mageuzi
yanayonuiwa kufufua hadhi ya shirikisho hilo lililokumbwa na kashfa
nyingi.Mapendekezo hayo yaliyoidhinishwa wakati wa mkutano wa kamati
hiyo mjini Zurich inajumuisha sheria inayosema rais wa shirikisho hilo
na maafisa wakuu wanaweza kuhudumu kwa kipindi cha miaka kumina miwili pekee na pia kuwepo kwa uchunguzi...
Friday, December 4, 2015


LEO huko Addis Ababa Nchini Ethiopia,
Rwanda na Uganda zimefanikiwa kuingia Fainali ya Kombe la Chalenji baada
ya kushinda Mechi zao za Nusu Fainali kwa Mikwaju ya Penati. Katika
Nusu Fainali ya kwanza, Sudan, waliocheza Mtu 10 kuanzia Dakika ya 23
baada ya Bakri Almadina kupewa Kadi Nyekundu, na Rwanda zilitoka 0-0
katika Dakika 90 na Gemu kwenda Nyongeza za Dakika 30 na ndipo Sudan
kutangulia kufunga kwa Bao la Atahir Babakir la Dakika ya 100 lakini
Rwanda walisawazisha kupitia Jean...



Belgium imebaki Nambari Wani kwenye FIFA Listi ya Ubora Duniani iliyotolewa Leo huku Tanzania ikipanda Nafasi 3. Mabingwa
wa Dunia Germany wameshuka Nafasi 2 na sasa wapo Nafasi ya 4 wakati
Argentina wakipinda Nafasi 1 na kushika Nafasi ya Pili na Spain kupanda
Nafasi 3 na kukamata Nafasi ya 3. Brazil nao wapo Nafasi ya 6 baada kupanda Nafasi 2. Tanzania sasa ipo Nafasi ya 132 baada ya kupanda...


Sir
Alex Ferguson amemuunga mkono Mchezaji wa zamani wa Manchester United
Gary Neville kufanikiwa kama Meneja mara baada ya kuteuliwa kuiongoza
Valencia ya Spain hadi mwishoni mwa Msimu huu. Neville,
mwenye Miaka 40, alitumia maisha yake yote ya uchezaji Soka akiwa chini
ya Sir Alex Ferguson huko Manchester United ambako alicheza Mechi 602
na kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu Englamnd mara 8,...
Subscribe to:
Posts (Atom)