HAFLA
ya FIFA ya kutunuku Tuzo za FIFA za Ubora Duniani kwa Mwaka 2016
zimefanyika Usiku huu huko Zurich, Uswisi na Cristiano Ronaldo kuibuka
ndio Mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora Duniani. Akitwaa Tuzo hii,
Ronaldo, anaechezea Real Madrid na Nchi yake Portugal, aliwashinda kwa
Kura Lionel Messi na Antoine Griezmann. Ronaldo pia alitwaa,
mapema Mwezi Desemba, Tuzo ya Mchezaji Bora Duniani...
Monday, January 9, 2017


DROO
YA RAUNDI YA 4 ya EMIRATES FA CUP imefanyika Leo Usiku huko BT Tower
Mjini London ikiendeshwa na Wachezaji wa zamani wa Kimataifa wa England
Michael Owen na Martin Keown na Mabingwa Watetezi Manchester United
kupangwa kucheza kwao Old Trafford na Wigan Athletics.
Man City na Arsenal zote zimepangwa
kucheza Ugenini kwa Arsenal kuivaa Southampton au Norwich na Man City
kucheza...


Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika benchi la kibanda cha kupigia kiwi (Shoe Shine) pamoja na wakazi
wengine wa Chato katika eneo maarufu kama Stendi za zamani Chato mkoani
Geita. Kibanda hicho cha Kiwi ndicho Rais Dkt. Magufuli alichokuwa...
Subscribe to:
Posts (Atom)