Monday, February 24, 2014

Mratibu wa Mbio za Uhuru Marathon, Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumzia maandalizi ya uzinduzi wa Mbio hizo kwa Mwaka 2014,ambapo mwaka huu Mbio hizo zitazinduliwa kwenye Kijiji cha Butiama,Mkoani Mara. Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Selemani Nyambui akinzungumza kwenye Mkutano huo. MBIO za Uhuru...
Mratibu wa Mbio za Uhuru Marathon, Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumzia maandalizi ya uzinduzi wa Mbio hizo kwa Mwaka 2014,ambapo mwaka huu Mbio hizo zitazinduliwa kwenye Kijiji cha Butiama,Mkoani Mara. Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Selemani Nyambui akinzungumza kwenye Mkutano huo. MBIO za Uhuru...
Mwonekano wa kiwanja cha Aliianz Riviera mjini Nice nchini Ufaransa Timu ya taifa ya Scotland na Jamuhuri ya Ireland zimepangwa katika moja ya makundi magumu katika michuano ya kufuzu kwa ajili ya fainali za mataifa barani...
Sherehe za kufunga rasmi michezo ya Olimpiki ya Sochi Michezo ya ishirini na mbili ya Olimpiki ya majira ya baridi, iliyodumu kwa siku 17, imemalizika Jumapili katika mji wa kitalii wa Sochi, kwa wenyeji Urusi kuibuka wa kwanza ...
Performers form the Olympic rings during the closing ceremony for the 2014 Sochi Winter Olympics, February 23, 2014. REUTERS/Pawel Kopczynski (RUSSIA - Tags: OLYMPICS SPORT) Former President of the International Olympic Committee (IOC) Jacques Rogge, Claudia Bach, International Olympic Committee (IOC) President Thomas Bach and President of Russia Vladimir Putin look on during the 2014 Sochi...
Michuano ya UEFA CHAMPIONS LIGI, yanaendelea tena kesho Jumanne na Jumatano wiki hii kwa Mechi nyingine za kwanza 4 za Raundi hiyo ambapo Timu mbili za England, Mabingwa Manchester United na Chelsea, zitakuwa Ugenini kuanza kampeni zao.Wiki iliyopita, Timu nyingine mbili za England zilianza vibaya kwa zote kufungwa Mechi zao za Nyumbani wakati Man City walipochapwa kwao Etihad 2-0 na...
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania Ijumaa hii itachezesha droo kubwa ya promosheni yake ya 'Mimi Ni Bingwa' ambayo itamfanya mmoja wa wateja wake kujishindia zawadi ya kitita cha shilingi milioni 50. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde alisema droo hiyo itakayobadilisha maisha ya mtu,...
£160,000 - Hii ndio fedha ambayo itabaki kwenye akaunti ya Rooney kwa wiki - baada ya kulipia kila kitu, kodi na bima. ...
HATIMAYE rais Victor Yanukovych wa nchini Ukraine amekimbia mji wa Kiev baada ya bunge la nchi hiyo kupitisha kura ya kumwondoa madarakani rais huyo kutokana na shinikizo la waandamanaji.Aidha, aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Bw. Yulia Tymoshenko ameachiwa huru baada ya kutumikia kifungo cha miaka miwili jela wakati wa utawala wa Rais Yanukovych ambaye ni hasimu mkubwa wa rais huyo.Kwa ...

waliotembelea blog