
Mratibu
wa Mbio za Uhuru Marathon, Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa
habari jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumzia maandalizi ya
uzinduzi wa Mbio hizo kwa Mwaka 2014,ambapo mwaka huu Mbio hizo
zitazinduliwa kwenye Kijiji cha Butiama,Mkoani Mara.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Selemani Nyambui akinzungumza kwenye Mkutano huo.
MBIO za Uhuru...