Saturday, October 4, 2014

Akiandika katika ukurasa wake maalumu katika gazeti la EVENING STANDARD la huko nchini Uingereza kocha mkuu wa klabu ya wagonga nyungo wa London, West Ham United, Sam Allardyce amesema alisikitishishwa sana na kitendo cha kocha mpya wa klabu ya Manchester United Louis Van Gaal cha kutompatia kinywaji (mvinyu) baada ya mechi kama alivyokuwa akifanya Sir Alex Ferguson  Kulia ni kocha...

waliotembelea blog