Fletcher aliipa Sunderland Bao la kuongoza lakini Beki wao Wes Brown alijifunga mwenyewe na kuwapa Palace Bao la kusawazisha.
Ushindi ni mtamu kwa Sunderland kwani katika Mechi yao iliyopita ya Ugenini walipigwa 8-0 na Southampton.
Crystal Palace nao walipata bao la pekee na hapa wakishangilia.
RSS Feed
Twitter
5:58 AM
Unknown