Friday, March 27, 2015

Kipindi cha kwanza Dakika ya 7 anaipachikia bao la kwanza England. Dakika ya 45 Danny Welbeck aliwapa ba la pili England na kufanya 2-0 na kwenda Mapunziko England ikiongoza kwa bao hizo za Rooney na D. Welbeck. Kipindi cha pili dakika ya 58 Raheem Sterling aliwafungia England bao la tatu na kufanya 3-0 dhidi ya Lithuania. Harry Kane aliyeingia kipindi cha pili dakika ya 71 kuchukua nafasi...
Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam jana (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya tamasha hilo litakalofanyika Aprili 5, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi, Jimmy Charles. (Picha na Francis Dande) Msama akifafanua...
Bondia Wang Xin Hua kutoka China 'kushoto'  wakitunishiana misuli na Mohamed Matumla baada ya kupima uzito Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wao leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee Bondia Wang Xin Hua kutoka China 'kushoto'  wakitazamana kwa usongo  na Mohamed Matumla baada ya kupima uzito Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wao leo katika ukumbi wa Diamond...
Chelsea have announced that club captain John Terry has signed a one-year contract extension to keep him at the club until the end of the 2015-16 season.Terry, 34, had been on a deal at Stamford Bridge that was due to run out at the end of the current campaign, with the defender's future the subject of much speculation.However, Blues boss Jose Mourinho confirmed after his side's...

waliotembelea blog