Wednesday, September 30, 2015

Ukitaja Tuzo kubwa zinazohusu Muziki wa Tanzania ni Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards… Nigeria nao wanazo za kwao, zinaitwa Headies Awards na good news ni kwamba tayari wakali wanaowania Tuzo hizo wamefahamika.. yani ile list ya Nominees wote niko nayo tayari. Tumeona kwa KTMA huwa inatoa Tuzo pia kwa baadhi ya wasanii wa nje, mfano kipengele cha ‘Wimbo Bora Afrika Mashariki‘… YES,...
2-1 Smalling anagongewa kisigino na Juan Mata kama pasi ya kijanja na kufunga bao na kuwaacha mabeki wa Wolfsburg wakiduwaa! Smalling alifunga bao hilo kipindi cha pili dakika ya 53 na kuipa bao la pili Man United.David De Gea kama kawaida kufurahi Timu inapopata bao!Hoi!!1-11-1 man u penati ya mata dakika 341-11-1 Mata akishangilia na mpira baada...
Sergio Aguero ndie aliyeipatia Man City bao kwa mkwaju wa penati usiku huu kwenye Uefa Champions League. Aleksandar Kolarov akishangilia na wenzake kwenye Ushindi baada ya kupata bao kwa mkwaju wa penati Man City katika dakika za lala salama. Martin Demichelis kwenye patashika kupata bao mbele ya Julian Korb lakini  Nicolas Otamendi alikuwepo kwenye kasi kuumalizia Korb akishuhudia...
 Cristiano Ronaldo akishangilia bao lake baada ya kuifunga timu ya  Malmo kwenye Uwanja wa  Swedbank Stadium na huku likiwa bao lake la 500 kisoka, Dakika ya 90 pia aliipatia bao la pili Real Madrid 1-0 Ronaldo akishangilia Ronaldo akizungukwa na wenzake kupongezwa baada ya kuweka historia kwenye maisha yake ya kisoka leo hii kwenye mchezo wa UEFA Champions LigiCristiano ...
Refa ni Ahmada Simba(Kager...
Baada ya Jana Klabu za Jiji la London, Arsenal na Chelsea, zote kubamizwa kwenye Mechi zao za pili za Makundi yao ya UEFA CHAMPIONS LIGI, UCL, Leo ni zamu ya Klabu mbili za Jiji la Manchester. Leo, Manchester United wako kwao Old Trafford kucheza Mechi yao ya pili ya Kundi B na Klabu ya Germany VfL Wolfsburg. Man United walifungwa Mechi yao ya kwanza huko Netherlands 2-1 na PSV...
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea leo Jumatano kwa timu 14 kucheza katika viwanja saba nchini, ikiwa ni raundi ya tano ya ligi hiyo iliyoanza kutimua vumbi Septemba 12, 2015. Simba SC watakua wenyeji wa Stand United katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Azam FC watawakaribisha Coastal Union kwenye uwanja wa Azam Complex – Chamazi jijini Dar es salaam. Mjini...
Ushindi!Jose Mourinho alishindwa kuamini Kwenye Kundi G, FC Porto, ikiwa kwao Ureno Estadio do Dragao Jijini Porto, iliicharaza Timu ya Mreno mwenzao Jose Mourinho, Chelsea, Bao 2-1. Bao za Mechi hii zilifungwa na Andre Andre kwa FC Porto katika Dakika ya 39 na Chelsea kusawazisha Dakika ya 45 kwa Frikiki ya Willian. Kichwa cha Maicon katika Dakika ya 52 kiliwapa FC Porto ushindi wa Bao...
Felipe Pardo aliipa Olympiakos Bao la kuongoza lakini Theo Walcott akaisawazishia Arsenal ambao walikwenda Mapumziko wakiwa nyuma 2-1 baada ya Kipa wao David Ospina kujifunga mwenyewe. Kipindi cha Pili, Arsenal walisawazisha Dakika ya 65 kwa Bao la Alexis Sanchez lakini Dakika 1 baadae Olympiakos walifunga Bao la 3 na la ushindi wa 3-2 kupitia Alfred Finnbogason. Hii ni Mechi ya pili...
Barcelona v Bayer Leverkusen VIKOSI:Barcelona: Ter Stegen, Dani Alves, Pique, Mascherano, Mathieu, Rakitic, Busquets, Iniesta, Sandro, Suarez, Neymar.Akiba: Masip, Douglas, Bartra, Munir, Jordi Alba, Sergi Roberto, Gumbau. Bayer Leverkusen: Leno, Donati, Tah, Papadopoulos, Wendell, Kramer, Bender, Kampl, Calhanoglu, Bellarabi, Hernandez.Akiba: Kresic, Ramalho Silva, Kiessling, Hilbert, Mehmedi,...
Barcelona v Bayer Leverkusen VIKOSI:Barcelona: Ter Stegen, Dani Alves, Pique, Mascherano, Mathieu, Rakitic, Busquets, Iniesta, Sandro, Suarez, Neymar.Akiba: Masip, Douglas, Bartra, Munir, Jordi Alba, Sergi Roberto, Gumbau. Bayer Leverkusen: Leno, Donati, Tah, Papadopoulos, Wendell, Kramer, Bender, Kampl, Calhanoglu, Bellarabi, Hernandez.Akiba: Kresic, Ramalho Silva, Kiessling, Hilbert, Mehmedi,...

waliotembelea blog