Wednesday, May 13, 2015

Cristiano Ronaldo akshangilia bao lake la PenatiDakika ya 23 kipindi cha kwanza Cristiano Ronaldo anaipachikia bao la kwanza Real Madrid kwa mkwaju wa Penati na kufanya 1-0 dhidi ya Juventus. Bao hilo la Cristiano Ronaldo lilidumu na kuwapeleka mapumziko wakiwa mbele  na huku jumla ya magoli ya mtanange wa kwanza na huu japo bado dakika...

waliotembelea blog