Friday, December 6, 2013

Mwili wa jambazi hilo ukiwa katika hospitali ya wilaya ya Kahama Kijana mmoja ambaye hajatambulika jina lake mwenye umri kati ya miaka 26 hadi 30 ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akiwa na wenzake wakijaribu kuvunja duka maeneo ya Shunu, kata ya Nyahanga wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Tukio hilo limetokea majira ya saa nane usiku wa kuamkia leo ambapo jambazi hilo likiwa na wenzake watatu...

waliotembelea blog