Monday, July 6, 2015

Wachezaji wa Liverpool wakiwa mazoezini leo hiiDejan na Lickie Lambert wakipasha Jordan Henderson Nathaniel Clyne kazini leo Liverpool Raheem SterlingJoe Gomez nae ndani mazoezin...
Wayne RooneyWayne Rooney kwenye gari akiingia mazoezini CarringtonMemphis DepayDepayRobin Van PersieDaley BlindWayne RooneyMichael Carrick na kipa Anders LindegaardRobin Van Pers...
BONDIA Floyd Mayweather amepokonywa mkanda wa WBO uzito wa Welter alioshinda dhidi ya Manny Pacquiao- na Anthony Mundine ameomba kuzichapa naye Septemba. Mayweather alishindwa kulipa wakati Ijumaa dola za KImarekani 200,000 ambayo ni ada ya mkanda kwa WBO na Kamati imeamua kumvua taji hilo mbabe huyo mwenye umri wa miaka 38. Inamaanisha Timothy Bradley JR anatarajiwa kuvikwa mkanda...
MSHAMBULIAJI Memphis Depay amejiunga na wachezaji wenzake wa Manchester United kwa mara yaa kwanza tangu asajiliwe kwa Pauni Milioni 25 kutoka PSV. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 alikuwa sura mpya pekee viwanja vya Carrington jana wakati kikosi cha Louis van Gaal kiliporejea mazoezini kabla ya ziara ya Amerika kujiandaa na msimu mpya. Depay alipigwa picha akiwa amevalia jezi namba...
KLABU ya Barcelona imefikia maubaliano na Atletico Madrid juu ya kumsajili kiungo Arda Turan kwa Pauni Milioni 29.  Winga huyo mwenye umri wa miaka 28 alizivutia pia Chelsea na Manchester United, lakini Barcelona imeshinda mbio za kuwania saini yake.  Barcelona italipa Pauni Milioni 24 mbele na nyingine Pauni Milioni 5 zitalipwa baadaye kufuatia mwanasoka huyo wa kimataifa wa...
KIUNGO James Milner ametambulishwa kama mchezaji wa Liverpool leo na kusema kiu yake ni kushinda mataji na Medali kibao akicheza dimba la kati Anfield. Mchezaji huyo wa kimataifa wa England amesema anataka kuendeleza desturi ya kuinua mataji kama ilivyokuwa Manchester City baada ya kupata nafasi ya kufanya kazi na kocha Brendan Rodgers. Ingawa hakusema moja kwa moja kuhusu...
MKONGWE Andrea Pirlo ameondoka rasmi Juventus kuhamia New York City, klabu zote zimethibitisha. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Italia amecheza kwa miaka minne Juve ikiwa Serie A, na sasa ataungana na kiungo mwenzake mkongwe wa England, Frank Lampard timu hiyo ya Ligi Kuu Marekani, maarufu kama Major League Soccer itakayoanza Julai 21. Pirlo anayetarajiwa kusaini Mkataba wa miezi 18, ameiambia tovuti...
MGANDA aliyeifunga mabao mawili Tanzania ikilala 3-0 katika mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza kufuzu CHAN ya mwakani, Erisa Sekisambu amechukua nafasi ya John Raphael Bocco klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini. Azam FC ilikubali kumuuza mshambuliaji wake John Raphael Bocco ‘Adebayor’ kwa dola za Kimarekani 80,000 zaidi ya Sh. Milioni 160,000 za Tanzania kwa klabu ya Free State Stars,...
Robin van Persie was back in Cheshire as he prepares to return to training after his summer break Van Persie's agent has played down speculation that he is on the verge of leaving Manchester United The Dutchman was out and about in the leafy suburb on Sunday evening after a meal with his family Van Persie will return to training at Carrington with the rest of the United squad on Monday morn...
Marekani imefanikiwa kuitandika timu ya Japan mabao 5-2 katika fainali ya michuano ya kombe la duniani na kufanikiwa kutawazwa mabingwa wapya. Katika mchezo huo Marekani ilifanikiwa kutawala mchezo kwa muda wote kwani ndani ya dakika 15 tayari wailikua wameshafunga mabao 4 na kuwachanganya zaidi wapinzani wao. Hapa nimekuwekea pichaz wakati wakishangilia...

waliotembelea blog