Friday, October 2, 2015

LIGI KUU ENGLAND RATIBA: Jumamosi Oktoba 3 14:45 Crystal Palace v West Brom 17:00 Aston Villa v Stoke 17:00 Bournemouth v Watford 17:00 Man City v Newcastle 17:00 Norwich v Leicester 17:00 Sunderland v West Ham 19:30 Chelsea v...
Kuchagua chuo sometimes inakuwa kazi ngumu sana kwasababu unajikuta na maswali mengi sana baadhi yakiwa; je campus unayoitaka ina mazingira mazuri ya kusomea, usafiri wa kufika chuoni unapatikana, huduma za maduka je zipo? lakini swali kubwa...
Kocha wa timu ya taifa ya England, Roy Hodgson amemwambia nahodha wa Timu hiyo Wayne Rooney kuwa hatasita kumuacha kwenye kikosi hicho endapo ataendelea kucheza chini ya kiwango. Kauli hii ya Kocha Hodgson inakuja baada ya mchezaji huyo ambaye pia...
Feneberhce ya Uturuki imejitutumua ikiwa ugenini Glasgow na kufanikiwa kupata sare ya mabao 2-2 katika michuano ya Kombe la Europa. Ikiongozwa na Robin van Persie, Feneberhce ililazimika kusawazisha ikitoka chini kwa mabao 2-0 hadi kuwa 2-2. Shuja alikuwa ni Fernandao ambaye alifunga mabao yote mawili ya kusawazisha katika dakika za 43 na 48. ...
TAIFA STARS Tanzania imepanda nafasi nne katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) lakini bado hali yake ni mbaya kwa jumla katika takwimu hizo zilizotolewa jana Alhamisi. Takwimu hizo zinaonyesha kuwa Tanzania inashika nafasi ya 136 ikiwa ndiyo nchi ya chini kwa ubora kati ya zile zilizopo Afrika Mashariki katika chati hiyo. Argentina imeendelea kubaki...

waliotembelea blog