LIGI KUU ENGLAND RATIBA: Jumamosi Oktoba 3 14:45 Crystal Palace v West Brom 17:00 Aston Villa v Stoke 17:00 Bournemouth v Watford 17:00 Man City v Newcastle 17:00 Norwich v Leicester 17:00 Sunderland v West Ham 19:30 Chelsea v...
Friday, October 2, 2015


Feneberhce
ya Uturuki imejitutumua ikiwa ugenini Glasgow na kufanikiwa kupata sare
ya mabao 2-2 katika michuano ya Kombe la Europa.
Ikiongozwa na Robin van Persie, Feneberhce ililazimika kusawazisha ikitoka chini kwa mabao 2-0 hadi kuwa 2-2.
Shuja alikuwa ni Fernandao ambaye alifunga mabao yote mawili ya kusawazisha katika dakika za 43 na 48.
...


TAIFA STARS
Tanzania imepanda nafasi nne katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la
Kimataifa (Fifa) lakini bado hali yake ni mbaya kwa jumla katika takwimu hizo
zilizotolewa jana Alhamisi.
Takwimu
hizo zinaonyesha kuwa Tanzania inashika nafasi ya 136 ikiwa ndiyo nchi ya chini
kwa ubora kati ya zile zilizopo Afrika Mashariki katika chati hiyo.
Argentina
imeendelea kubaki...
Subscribe to:
Posts (Atom)