MSIMAMO ULIVYO KWA SASA: CHELSEA KILELENI.
English Premier League
#
Team
GP
W
D
L
GF
GA
GD
PTS
1
Chelsea
31
22
7
2
64
26
38
73
2
Arsenal
32
20
6
6
63
32
31
66
3
Man United
32
19
8
5
...
Saturday, April 18, 2015


Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Mohamed Msangi.
MSHITUKO wa matukio ya
mfululizo ya ajali, umeendelea kugubika nchi, baada ya watu 20 kupoteza
maisha katika ajali ya basi dogo aina ya Toyota Hiace, iliyotokea jana
wilayani Rungwe mkoani Mbeya.
Ajali hiyo ambayo
taarifa na picha zake zilisambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii,
imesababisha taharuki kutokana na ukaribu wake...


Ilikua mishale ya saa kumi kamili jioni ujumbe wa harakati za Imetosha
ulipowasili katika kituo cha Buhangija cha kulea watoto wenye mahitaji
maalumu mjini Shinyanga. Sauti za furaha za watoto zilisikika zikiimba
nyimbo za kukaribisha ujumbe wa wana harakati hao ambao wako Mwanza
kutambulisha harakati za Imetosha ambazo ni kupambana na kupinga
unyanyapaa, ukatili na mauaji kwa watu...


.jpg)
Wachezaji
wa Coastal Union wakipata darasa kutoka kwa Kiongozi (Meneja) wa Klabu
hiyo ya Tanga Jamhuri Kihwelo wakati wa Mazoezi yao.
Kocha Mkuu wa Coastal Union, Jamhuri Kihwelo
‘Julio’ amewaambia wachezaji wake wanatakiwa kufanya kila linaliwezekana kuhakikishaw anashinda mechi yao inayofuata. Coastal Union itakipiga dhidi ya Polisi Moro ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Jamhuri...
Subscribe to:
Posts (Atom)