Tuesday, April 14, 2015

Arturo Vidal aliipatia bao dakika ya 57 kipindi cha pili kwa mkwaju wa penati na kuitanguliza bao 1-0 dhidi ya As Monaco. Ricardo Carvalho alioneshwa kadi ya njano baada ya kumfanyia rafu mbaye eneo la penati Álvaro Morata.VIKOSI:Juventus 11: Buffon, Lichtsteiner, Bonucci, Chiellini, Evra, Vidal, Pirlo, Marchisio, Pereyra, Tevez, MorataAkiba: Storari, Barzagli, Padoin, Sturaro, Pepe, Llorente,...
Vuta ni kuvute katika kipindi cha pili...Kipindi cha kwanza kimemalizika hakuna aliyeliona lango la mwenzake licha ya Timu ya Real kuliandama kwa wingi lango la Atletico Madrid.VIKOSI:Atletico Madrid Wanaoanza: Oblak, Juanfran, Miranda, Godin, Siqueira, Gabi, Mario Suarez, Koke, Arda, Griezmann, MandzukicAtletico Akiba: Moya, Gamez, Gimenez, Tiago, Raul Garcia,...
Chid Benz ameamua kuonyesha ukali wake kwa mara nyingine tena na hii kawahusisha wakali wengine wa hiphop Nikki Mbishi na One,wimbo huu umeanza kutengenezwa ka Lamar kisha umemaliziwa kwa Son...
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea kesho jumatano katika viwanja viwili nchini, jijini Tanga wenyeji Maafande wa Mgambo Shooting watawakaribisha timu ya Azam FC kwenye Uwanja wa Mkwakwani. Mjini Morogoro wakata miwa wa Mtibwa Sugar watakua wenyeji wa maafande wa jeshi la Magereza nchini timu ya Tanzania Prisons kutoka Mbeya, mchezo utakaopigwa...
KAMATI YA USIMAMIZI NA UENDESHAJI YA BODI YA LIGI Kocha Jackson Mayanja wa Kagera Sugar amepigwa faini ya sh. 500,000 na kufungiwa mechi tatu kwa kutoa lugha ya kashfa kwa maneno na vitendo kwa waamuzi wa mechi yao na Mtibwa Sugar kuwa walipewa rushwa. Adhabu dhidi ya Kocha Mayanja kwenye mechi hiyo namba 136 iliyochezwa...
 Kagera Sugar imeshinda mechi tano Uwanja wa Kambarage tangu ihamishie maskani yake mjini Shinyanga ikitokea Mwanza ilikopoteza mechi tatu mfululizo na kulazimika kuhama.’ KAGERA Sugar FC imesahihisha makosa ya kufungwa 2-1 dhidi ya Simba SC wiki iliyopita baada ya kuilaza Ruvu Shooting Stars mabao 2-0 katika mechi pekee ya leo ya Ligi Kuu Tanzania Bara iliyochezwa Uwanja wa CCM Kambarage...
Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba SC, imepigwa faini ya sh. 300,000 na TFF kupitia kamati yake ya Usimamizi na Uendeshaji wa Ligi Kuu mara baada ya timu yao kugoma kuingia kwenye vyumba vya kuvalia nguo (changing room) kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga wakati wa mechi dhidi ya Kagera Sugar.  Hatua hiyo ilisababisha wachezaji wakaguliwe kwenye gari lao. Katika mchezo huo Simba...
Meneja wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa Mchezaji wao Raheem Sterling hakuonyesha nidhamu ya Mwanamichezo baada ya kuibuka Picha akivuta Mtemba maarufu kama Shisha ambao unadhaniwa kuwa na Gesi inayolewesha 'Nitrous Oxide.' Picha za Sterling akivuta Shisha zilizagaa Jana huko England kwenye Vyombo vya Habari na baadae kuibuka Picha nyingine zikimwonyesha Staa huyo wa Miaka 20...
  Zimefanyika kampeni mbalimbali duniani kote kupinga tukio la wasichana waoaminiwa kutekwa na kundi la kigaidi la Boko haramu nchini Nigeria, wasichana ambao walitekwa wakiwa shuleni. Leo Jumanne ya April 14 2015 watu mbalimbali Nigeria wameandamana kimya kimya huku wakiwa wameziba midomo katika jiji la Abuja pamoja na mabango yenye #BringBackOurGirls.. leo ni...

waliotembelea blog