+9
Anawindwa: Javier Hernandez (kushoto)
yupo katika rada za Southampton ambao wamepanga kutumia paundi milioni
70 majira haya ya kiangazi.
Southampton wanapanga kutumia paundi
milioni 70 siku chache zijazo ili kusajili wachezaji wataoziba nafasi za
nyota wao walioondoka.
Saints wanatarajiwa kuwasajili baadhi ya wachezaji watakaoachwa na Manchester United wakati huu...
Sunday, August 3, 2014


+7
Mwanzo mzuri: Joe Allen akipongezwa na Rickie Lambert baada ya kuifungia bao la kuongoza Liverpool dhidi ya AC Milan.
LIVERPOOL wametinga fainali ya
mashindano ya kimataifa ya maandalizi ya msimu nchini Marekani na sasa
watakabiliana na wapinzani wao wakubwa Manchester United siku ya
jumatatu.
Hii inatokana na ushindi wa mabao 2-0 waliopata dhidi ya AC Milani huko Charlotte.
Mabao...



Miss Redd's Kagera 2014 Jackline Kimambo kwenye pozi ya picha baada ya Kutangazwa Mshindi usiku wa kuamkia leoMshindi
wa Taji la Redd's Miss Kagera Jackline Kimambo(katikati) kwenye picha
ya pamoja na mshindi wa pili na watatu ambapo mshindi wa pili ni Nyangi
Warioba na watatu ni Faudhia Haruna(kushoto).Babylove
Kalala (kulia) akimvisha taji Miss Redd's Kagera 2014 Jacline
Kimambo(katikati)...


Nyomi ya hatari: Mashabiki 109,00 waliitazama mechi kwenye uwanja wa Michigan mjini Ann Arbor.
Louis van Gaal amekiri kuwa alikuwa na
hofu ya ukubwa wa Manchester United baada ya kuwafunga Real Madrid mbele
ya mashabiki 109,000 jana usiku nchini Marekani.
Van Gaal alisema: 'Tumecheza mbele ya
mashabiki 300,00 kwenye ziara hii na watakuwa wengi zaidi katika mechi
ya...


Louis van Gaal amejipa nafasi ya kutwaa kombe la kwanza akiwa Manchester United ikiwa ni wiki tatu tu tangu aanze kazi.
Kushindi kombe la kimataifa la
maandalizi ya msimu nchini Marekani sio sababu ya kusema Man United
itakuwa kali na kufuta machungu ya miezi 12 ya David Moyes, lakini
utakuwa mwanzo mzuri kwa Mholanzi huyo katika dimba la Old Trafford kama
timu yake itashinda fainali...


MALAWI wamefuzu hatua ya makundi ya kuwania tiketi
ya kucheza fainali za mataifa ya Afrika, AFCON 2015 nchini Morocco baada ya kuifunga
Benin kwa mikwaju 4-3 ya penalti.
Mechi iliyopita mjini Cotonou, Malawi walifungwa
bao 1-0 na leo wakiwa nyumbani wamepata ushindi wa aina hiyo, hivyo sheria ya
mikwaju ya penalti kutumika kuamua mshindi.
Bao pekee la ushindi kwa Malawi liligungwa...


+
Mashabiki 21 wa Westham na Newcastle wamekamatwa na polisi mjini Dusseldorf (picha ya juu haihusiani na tukio).
POLISI nchini Ujerumani wamewatia
mbaroni mashabiki 21 wa klabu za Westham na Newcastle baada ya
kuanzishaji fujo na kuzichapa 'kavukavu' huko Dusseldorf.
Mapigano hayo yalizuku baina ya mashabiki hao hasimu jana mchana na polisi 100 walipelekwa eneo la tukio...


SEYDOU
Keita amemfananisha kocha wa Roma, Rudi Garcio na kocha wake wa zamani akiwa
Barcelona, Pep Guardiola.
Kiungo
huyo wa zamani wa Barca alijiunga na timu hiyo ya Seria A kwa mkataba wa mwaka
mmoja majira haya ya kiangazi kufuatia kumalizana na Valencia.
Nyota
huyo mwenye miaka 34 anajiimarisha ili kutafuta nafasi chini ya Garcia na
amezifananisha mbinu za Mfaransa...
Subscribe to:
Posts (Atom)